Pages

Monday, March 17, 2014

''Viwanja Kigamboni Mwasonga Milioni 1 tu kwa heka''

Habari gani wakuu? Nimewaletea habari njema!
Nauza viwanja KIgamboni eneo la Mwasonga ambalo liko baada ya Dsm Zoo.
Eneo ni zuri sana, maji yako karibu, panafaa kwa ufugaji wa samaki, kuku, Ng'ombe, mbuzi, na wanyama wengine kwani hakuna milipuko ya magonjwa wala mbung'o wanaodhuru ng'ombe.
Pia eneo linafaa kwa kilimo cha matikiti, Bamia, viazi vitamu, mchicha na mboga nyingine za kibiashara.
Eneo lilipo pana miradi miwili mikubwa ya ujenzi wa makazi ya watu ambayo iko chini ya vyama vya ushirika(Saccos) , Mradi wa maji wa Dawasco ambao wamechimba zaidi ya visima vinane vya kisasa vyenye kina kwa ajili ya kusambaza maji kwa wakazi wa maeneo hayo na yote yaliyo karibu.
Eneo liko mbali na mradi wa mji mpya wa kigamboni na haliko kwenye utaratibu wa mradi huo wala mwingine wowote kwa hiyo ni salama kwa uwekezaji na makazi pia.
Bei ya heka moja ni sh. 1,000,000/= .
Karibuni Mchangamkie fursa hii! Piga 0686555726