Bandarini kuna magari
yanapigwa mnada gari 164 aina mbalimbali spacio,mazda
demio,vitz,ist,rav4,corolla new model,noah,carina,crown,volvo,granvia yote hayo
bei kati ya milioni 4 hadi 6 hizi gari zilikuja meli nzima za kampuni ya sbt
japan. Wameshindwa kulipia ushuru wa gari zote baadhi walilipia wakauza hizo
wameziacha.
Wale wenye hela zao dili hilo.....
Tuesday, March 25, 2014
Monday, March 17, 2014
''Viwanja Kigamboni Mwasonga Milioni 1 tu kwa heka''
Habari gani wakuu? Nimewaletea habari njema!
Nauza viwanja KIgamboni eneo la Mwasonga ambalo liko baada ya Dsm Zoo.
Eneo ni zuri sana, maji yako karibu, panafaa kwa ufugaji wa samaki, kuku, Ng'ombe, mbuzi, na wanyama wengine kwani hakuna milipuko ya magonjwa wala mbung'o wanaodhuru ng'ombe.
Pia eneo linafaa kwa kilimo cha matikiti, Bamia, viazi vitamu, mchicha na mboga nyingine za kibiashara.
Eneo lilipo pana miradi miwili mikubwa ya ujenzi wa makazi ya watu ambayo iko chini ya vyama vya ushirika(Saccos) , Mradi wa maji wa Dawasco ambao wamechimba zaidi ya visima vinane vya kisasa vyenye kina kwa ajili ya kusambaza maji kwa wakazi wa maeneo hayo na yote yaliyo karibu.
Eneo liko mbali na mradi wa mji mpya wa kigamboni na haliko kwenye utaratibu wa mradi huo wala mwingine wowote kwa hiyo ni salama kwa uwekezaji na makazi pia.
Bei ya heka moja ni sh. 1,000,000/= .
Karibuni Mchangamkie fursa hii! Piga 0686555726
Nauza viwanja KIgamboni eneo la Mwasonga ambalo liko baada ya Dsm Zoo.
Eneo ni zuri sana, maji yako karibu, panafaa kwa ufugaji wa samaki, kuku, Ng'ombe, mbuzi, na wanyama wengine kwani hakuna milipuko ya magonjwa wala mbung'o wanaodhuru ng'ombe.
Pia eneo linafaa kwa kilimo cha matikiti, Bamia, viazi vitamu, mchicha na mboga nyingine za kibiashara.
Eneo lilipo pana miradi miwili mikubwa ya ujenzi wa makazi ya watu ambayo iko chini ya vyama vya ushirika(Saccos) , Mradi wa maji wa Dawasco ambao wamechimba zaidi ya visima vinane vya kisasa vyenye kina kwa ajili ya kusambaza maji kwa wakazi wa maeneo hayo na yote yaliyo karibu.
Eneo liko mbali na mradi wa mji mpya wa kigamboni na haliko kwenye utaratibu wa mradi huo wala mwingine wowote kwa hiyo ni salama kwa uwekezaji na makazi pia.
Bei ya heka moja ni sh. 1,000,000/= .
Karibuni Mchangamkie fursa hii! Piga 0686555726
Thursday, March 13, 2014
''NISSAN PRIMERA for sale/inauzwa''
NISSAN PRIMERA for sale/inauzwa 9.5m bei makubaliano/negotiable mawasiliano/contact 0718544336/0716869662
Subscribe to:
Comments (Atom)








